Swali 175: Je, amri ya kuoga kwa ajili ya ijumaa inawahusu wanawake pia, kama ilivyokuja katika Hadiyth:
”Ni haki juu ya kila muislamu kuoga kila baada ya siku saba.”?
Jibu: Inawezekana. Huenda pia ikasemwa kuwa jambo hili linahusiana na ijumaa, kama ilivyo katika Hadiyth zilizoeleza hilo waziwazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)