Swali 175: Je, amri ya kuoga kwa ajili ya ijumaa inawahusu wanawake pia, kama ilivyokuja katika Hadiyth:
”Ni haki juu ya kila muislamu kuoga kila baada ya siku saba.”?
Jibu: Inawezekana. Huenda pia ikasemwa kuwa jambo hili linahusiana na ijumaa, kama ilivyo katika Hadiyth zilizoeleza hilo waziwazi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
- Imechapishwa: 04/04/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 175: Je, amri ya kuoga kwa ajili ya ijumaa inawahusu wanawake pia, kama ilivyokuja katika Hadiyth:
”Ni haki juu ya kila muislamu kuoga kila baada ya siku saba.”?
Jibu: Inawezekana. Huenda pia ikasemwa kuwa jambo hili linahusiana na ijumaa, kama ilivyo katika Hadiyth zilizoeleza hilo waziwazi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 74
Imechapishwa: 04/04/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kwa-wanawake-pia-kuoga-siku-ya-ijumaa/