Swali: Je, kusawazisha safu wakati wa swalah ni wajibu?
Jibu: Ndio udhahiri. Imamu anapaswa kuwaamrisha waumini kusawazisha safu zao kama sehemu ya kuamrisha mema na kukataza mabaya. Kwa ajili hiyo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiwaamrisha na kuwahimiza.
Swali: Vipi ikiwa safu tayari iko sawa?
Jibu: Haijalishi kitu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akisema ili wazinduke:
“Sawaisheni safu zenu.”
Swali: Je, ni lazima kugusana miguu?
Jibu: Ni lazima kuziba pengo zilizopo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24922/هل-الامر-تسوية-الصفوف-واجب-على-الامام
- Imechapishwa: 04/01/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket