Swali: Vipi kuhusu wanawake kushiriki katika jihaad?
Jibu: Hakuna juu ya wanawake jihaad. Hata hivyo wanaweza kushiriki ikiwa kuna manufaa kwa waislamu, kama vile kutoa huduma za uuguzi, kuwapa maji majeruhi na kulinda mizigo. Hili lilikuwa likifanyika wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ajili ya manufaa, na si kwa ajili ya kupambana jihaad.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24924/كيف-تشارك-النساء-في-الجهاد
- Imechapishwa: 04/01/2025
Swali: Vipi kuhusu wanawake kushiriki katika jihaad?
Jibu: Hakuna juu ya wanawake jihaad. Hata hivyo wanaweza kushiriki ikiwa kuna manufaa kwa waislamu, kama vile kutoa huduma za uuguzi, kuwapa maji majeruhi na kulinda mizigo. Hili lilikuwa likifanyika wakati wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kwa ajili ya manufaa, na si kwa ajili ya kupambana jihaad.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24924/كيف-تشارك-النساء-في-الجهاد
Imechapishwa: 04/01/2025
https://firqatunnajia.com/wanawake-kushiriki-katika-jihaad/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)