Swali: Je, ni lazima mtu atie upya wudhuu´ wake hata kama kuna msongamano mkubwa?
Jibu: Kwa nini?
Swali: Amepatwa na hadathi.
Jibu: Lazima afanye upya wudhuu´ wake. Ni mamoja kuna msongamano mkubwa au hakuna. Ni kama vile mtu anayevunja wudhuu´ wake akiwa kwenye swalah, analazimika kurudia swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24990/هل-يجب-الوضوء-على-من-احدث-اثناء-الطواف
- Imechapishwa: 23/01/2025
Swali: Je, ni lazima mtu atie upya wudhuu´ wake hata kama kuna msongamano mkubwa?
Jibu: Kwa nini?
Swali: Amepatwa na hadathi.
Jibu: Lazima afanye upya wudhuu´ wake. Ni mamoja kuna msongamano mkubwa au hakuna. Ni kama vile mtu anayevunja wudhuu´ wake akiwa kwenye swalah, analazimika kurudia swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24990/هل-يجب-الوضوء-على-من-احدث-اثناء-الطواف
Imechapishwa: 23/01/2025
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kutawdha-tena-kwa-anayetufu-wakati-wa-msongano-mkubwa/