Swali: Kuna wanaowalingania watu katika mapinduzi na maandamano na kusema yanatofautiana mji kwa mji. Je, ni wajibu kutahadharisha kwa mtu mwenye kulingania katika mambo haya?
Jibu: Ndio. Hakuna kheri yoyote katika mapinduzi. Mapinduzi yanapelekea katika kumwaga damu na kuiharibu miji, kuangamiza mali na heshima. Mapinduzi hayajuzu. Lililowekwa katika Shari´ah ni Jihaad katika njia ya Allaah kwa masharti yake. Jihaad ambayo ni sahihi na ya Kishari´ah iliyowekwa. Kuhusiana na mapinduzi na vurugu, yote haya ni shari. Hayaleti kheri yoyote. Hayana matunda yoyote.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Kuna wanaowalingania watu katika mapinduzi na maandamano na kusema yanatofautiana mji kwa mji. Je, ni wajibu kutahadharisha kwa mtu mwenye kulingania katika mambo haya?
Jibu: Ndio. Hakuna kheri yoyote katika mapinduzi. Mapinduzi yanapelekea katika kumwaga damu na kuiharibu miji, kuangamiza mali na heshima. Mapinduzi hayajuzu. Lililowekwa katika Shari´ah ni Jihaad katika njia ya Allaah kwa masharti yake. Jihaad ambayo ni sahihi na ya Kishari´ah iliyowekwa. Kuhusiana na mapinduzi na vurugu, yote haya ni shari. Hayaleti kheri yoyote. Hayana matunda yoyote.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kutahadharisha-mwenye-kuita-katika-mapinduzi-na-maandamano/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)