Swali: Kuna ndugu yangu anayeitwa Aayah, alama au ishara. Je, ni wajibu kubadilisha jina hili?
Jibu: Wanakusudia ishara ya kilimwengu na sio ya Qur-aan. Ni alama ya kilimwengu. Kuna ishara aina mbili; ya kilimwengu na ya Qur-aan. Pengine anakusudia alama kama mmoja miongoni mwa viumbe vya Allaah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
- Imechapishwa: 18/06/2015
Swali: Kuna ndugu yangu anayeitwa Aayah, alama au ishara. Je, ni wajibu kubadilisha jina hili?
Jibu: Wanakusudia ishara ya kilimwengu na sio ya Qur-aan. Ni alama ya kilimwengu. Kuna ishara aina mbili; ya kilimwengu na ya Qur-aan. Pengine anakusudia alama kama mmoja miongoni mwa viumbe vya Allaah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (07) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/qir-14340205.mp3
Imechapishwa: 18/06/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-jina-la-aayah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)