Swali: Kipindi cha mwisho kumekithiri wazushi na wamekuwa na jawlah nyingi, je una nasaha yoyote katika mlango huu?
Jibu: Kuwalingania watu hawa na kutahadharisha dhidi ya mfumo wao. Mwenye kujua mfumo wa watu hawa na ni mwandishi, abainishe ´Aqiydah ya watu hawa na mfumo wao. Huu ndio wajibu wetu.
- Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/catplay.php?catsmktba=355
- Imechapishwa: 03/09/2020
Swali: Kipindi cha mwisho kumekithiri wazushi na wamekuwa na jawlah nyingi, je una nasaha yoyote katika mlango huu?
Jibu: Kuwalingania watu hawa na kutahadharisha dhidi ya mfumo wao. Mwenye kujua mfumo wa watu hawa na ni mwandishi, abainishe ´Aqiydah ya watu hawa na mfumo wao. Huu ndio wajibu wetu.
Muhusika: ´Allaamah Rabiy´ bin Haadiy al-Madkhaliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/catplay.php?catsmktba=355
Imechapishwa: 03/09/2020
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kutahadharisha-dhidi-ya-mfumo-wa-jamaaat-ut-tabliygh/