Ni wajibu kusoma al-Faatihah hali ya kuwa mtu amesimama. Kuhusiana na yale yanayofanywa na baadhi ya watu pindi anaposimama imamu ili kuswali Rak’ah ya pili kwa mfano, wamuona anakaa na kusoma al-Faatihah na anasimama pamoja na imamu baada ya kuwa kishasoma nusu ya al-Faatihah. Tunamwambia mtu huyu kisomo chako cha al-Faatihah sio sahihi. Kwa kuwa ni wajibu kusoma al-Faatihah katika hali ya kusimama. Kisomo chako hichi hakisihi kwa kuwa umesoma baadhi yake kwa kukaa, ilihali wewe ni muweza wa kusoma kwa kusimama.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/391)
- Imechapishwa: 31/05/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)