Ni wajibu kwa ndugu zetu wajitenge mbali kabisa na maadui wa Allaah. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا
“Hakika makafiri wamekuwa kwenu ni maadui wa wazi.” (04:101)
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
”Enyi walioamini! Msiwafanye mayahudi na manaswara marafiki – wao kwa wao ni marafiki – na yeyote atakayewafanya marafiki wao, basi yeye ni katika wao. Hakika Allaah haongoi watu madhalimu.” (05:51)
Ni ka nini tuko nyuma ya vyombo vya mawasiliano vya wamagharibi ambavyo vinawasifu watu kama hawa manaswara? Tunamuomba Allaah atupe sisi na nyinyi uongofu na elimu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1126
- Imechapishwa: 01/08/2020
Ni wajibu kwa ndugu zetu wajitenge mbali kabisa na maadui wa Allaah. Allaah (Tabaarak wa Ta´ala) amesema:
إِنَّ الْكَافِرِينَ كَانُوا لَكُمْ عَدُوًّا مُّبِينًا
“Hakika makafiri wamekuwa kwenu ni maadui wa wazi.” (04:101)
يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا لَا تَتَّخِذُوا الْيَهُودَ وَالنَّصَارَىٰ أَوْلِيَاءَ ۘ بَعْضُهُمْ أَوْلِيَاءُ بَعْضٍ ۚ وَمَن يَتَوَلَّهُم مِّنكُمْ فَإِنَّهُ مِنْهُمْ ۗ إِنَّ اللَّـهَ لَا يَهْدِي الْقَوْمَ الظَّالِمِينَ
”Enyi walioamini! Msiwafanye mayahudi na manaswara marafiki – wao kwa wao ni marafiki – na yeyote atakayewafanya marafiki wao, basi yeye ni katika wao. Hakika Allaah haongoi watu madhalimu.” (05:51)
Ni ka nini tuko nyuma ya vyombo vya mawasiliano vya wamagharibi ambavyo vinawasifu watu kama hawa manaswara? Tunamuomba Allaah atupe sisi na nyinyi uongofu na elimu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (49) http://binothaimeen.net/content/1126
Imechapishwa: 01/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-wajibu-kujitenga-mbali-na-maadui-wa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)