Swali: Mtu ambaye anazuia hasadi na kujionyesha yanamdhuru mambo hayo? Je, analipwa thawabu kwa kujizuilia kwake?
Jibu: Akiingiwa nafsini mwake na hasadi na asifanye wala kusema kitu hakumdhuru. Ama akifanya kitu, akamzungumza yule anayemuhusudu au akafanya kitu cha kumdhuru, basi huyu ndiye hasidi anayesemwa vibaya. Lakini asipofanya kitu, akaizuia nafsi yake na akamuomba Allaah kinga kutokamana na shaytwaan hakumdhuru.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
- Imechapishwa: 01/08/2020
Swali: Mtu ambaye anazuia hasadi na kujionyesha yanamdhuru mambo hayo? Je, analipwa thawabu kwa kujizuilia kwake?
Jibu: Akiingiwa nafsini mwake na hasadi na asifanye wala kusema kitu hakumdhuru. Ama akifanya kitu, akamzungumza yule anayemuhusudu au akafanya kitu cha kumdhuru, basi huyu ndiye hasidi anayesemwa vibaya. Lakini asipofanya kitu, akaizuia nafsi yake na akamuomba Allaah kinga kutokamana na shaytwaan hakumdhuru.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (15)
Imechapishwa: 01/08/2020
https://firqatunnajia.com/hasidi-anayesemwa-vibaya/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)