Swali: Kuanza kupangusa uso katika Tayammum ni lazima au inapendeza tu?
Jibu: Lazima:
فَامْسَحُوا بِوُجُوهِكُمْ وَأَيْدِيكُم مِّنْهُ
”… panguseni kwayo nyuso zenu na mikono yenu.”
“Anzeni kwa yale aliyoanza nayo Allaah.”
Kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akianza kwa uso.
Swali: Ambaye ametenganisha kati ya mwenye kufanya Tayammum kwa hadathi ndogo basi analazimika kuanza kupangusa uso, na mwenye kufanya Tayammum kwa hadathi ndogo inafaa kwake?
Jibu: Hapana. Uso ndio unaotangulizwa katika hali zote, kama anavofanya katika maji.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23576/هل-تقديم-الوجه-في-التيمم-واجب-ام-مستحب
- Imechapishwa: 15/02/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket