Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kupitwa na baadhi ya Takbiyr za swalah ya jeneza? Ni ipi hukumu ya ambaye anatoa Tasliym mbili katika swalah ya jeneza?
Jibu: Sijui Sunnah yoyote iliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi mtu atapokuja na akamkuta imamu anamswalia maiti baada ya kwamba ameshapitwa na Takbiyr moja au mbili. Lakini wanachuoni wanasema ukipitwa na baadhi ya Takbiyr iwapo jeneza litakuwa bado lipo mbele yako, kamilisha yaliyokupita kisha utoe Tasliym. Endapo jeneza litanyanyuliwa, basi katika hali hii uko na khiyari ima ya kusalimu pamoja na imamu au ukamilishe Takbiyr zako halafu utoe Tasliym. Hata hivyo sijui Sunnah yoyote juu ya hili. Anayejua Sunnah yoyote juu ya hilo basi atujuze na Allaah atamjaza kheri.
Kuhusu kutoa Tasliym mbili haina neno.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/135-136)
- Imechapishwa: 15/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kupitwa na baadhi ya Takbiyr za swalah ya jeneza? Ni ipi hukumu ya ambaye anatoa Tasliym mbili katika swalah ya jeneza?
Jibu: Sijui Sunnah yoyote iliyothibiti kutoka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) pindi mtu atapokuja na akamkuta imamu anamswalia maiti baada ya kwamba ameshapitwa na Takbiyr moja au mbili. Lakini wanachuoni wanasema ukipitwa na baadhi ya Takbiyr iwapo jeneza litakuwa bado lipo mbele yako, kamilisha yaliyokupita kisha utoe Tasliym. Endapo jeneza litanyanyuliwa, basi katika hali hii uko na khiyari ima ya kusalimu pamoja na imamu au ukamilishe Takbiyr zako halafu utoe Tasliym. Hata hivyo sijui Sunnah yoyote juu ya hili. Anayejua Sunnah yoyote juu ya hilo basi atujuze na Allaah atamjaza kheri.
Kuhusu kutoa Tasliym mbili haina neno.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/135-136)
Imechapishwa: 15/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-vipi-atakamilisha-swalah-yule-aliyepitwa-na-baadhi-ya-takbiyr-za-swalah-ya-jeneza/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)