Swali: Imaam ash-Shaafi´iy kutumia dalili kwa Hadiyth hii juu ya kwamba inafaa kuwaswalisha mkusanyiko familia nyumbani. Je, utumiaji dalili wake ni sahihi?
Jibu: Inafaa kufanya hivo baadhi ya nyakati. Ni kama ambavo Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimtembelea bibi yake Anas na akawaswalisha mkusanyiko. Kwa hivyo akifanya hivo baadhi ya nyakati na mtu akawaswalisha mkusanyiko hapana vibaya.
Swali: Anayeacha swalah ya mkusanyiko ili awaswalishe watoto wake?
Jibu: Haijuzu kufanya hivo. Ni lazima kuswali na mkusanyiko. Kama anataka kuwafunza basi awaswalishe mkusanyiko.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23784/ما-حكم-صلاة-الرجل-النافلة-باهل-بيته-جماعة
- Imechapishwa: 26/04/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)