Swali: Baba fakiri ana watoto wengi ambao ni matajiri. Je, watoto wote wanatakiwa kumhudumia kwa pamoja au yule mtoto mkubwa pekee ndiye anatakiwa kumhudumia?
Jibu: Wote wanatakiwa kumhudumia kwa pamoja. Kila mmoja kwa kiasi cha uwezo wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (41)
- Imechapishwa: 05/10/2023