Swali: Mwenye kusema kwamba jambo la kuamrisha mema na kukataza maovu ni upuuzi mtupu. Je, maneno haya yanazingatiwa ni kufuru?
Jibu: Hapana, hakuzingatiwa ni kufuru. Abainishiwe kuwa ni kosa. Abainishiwe kuwa ni maneno ya kimakosa, kwamba ni maneno yasiyokuwa sahihi na kwamba si mambo ya kipuuzi. Huu ni ujinga. Anatakiwa kubainishiwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-is-Shubuhaat, uk. 114
- Imechapishwa: 18/08/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)