Swali: Sahihi wakati wa kusema:
ألا صلوا في رحالكم
“Zindukeni, swalini majumbani mwenu!”
ni pale anapofika katika:
حي على الصلاة
“Njooni katika swalah!”
au ni baada yake?
Jibu: Udhahiri ni kwamba atasema hivo wakati wa kusema:
حي على الصلاة
“Njooni katika swalah!”
au baada yake. Imekuja katika upokezi mwingine kwamba aliamrisha kusema hivo baada ya adhaana ili watu wasilaani wakaona kuwa adhaana imebadilishwa na adhaana ibaki kama ilivyo. Kisha awaambie:
“Swalini katika majumba yenu.”
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23735/متى-تقال-صلوا-في-رحالكم-في-الاذان
- Imechapishwa: 16/04/2024
Swali: Sahihi wakati wa kusema:
ألا صلوا في رحالكم
“Zindukeni, swalini majumbani mwenu!”
ni pale anapofika katika:
حي على الصلاة
“Njooni katika swalah!”
au ni baada yake?
Jibu: Udhahiri ni kwamba atasema hivo wakati wa kusema:
حي على الصلاة
“Njooni katika swalah!”
au baada yake. Imekuja katika upokezi mwingine kwamba aliamrisha kusema hivo baada ya adhaana ili watu wasilaani wakaona kuwa adhaana imebadilishwa na adhaana ibaki kama ilivyo. Kisha awaambie:
“Swalini katika majumba yenu.”
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23735/متى-تقال-صلوا-في-رحالكم-في-الاذان
Imechapishwa: 16/04/2024
https://firqatunnajia.com/ni-lini-muadhini-atawaambia-watu-waswali-katika-majumba-yao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)