Swali: Ni ipi niaba katika Hajj na ´Umrah inakuwa inajuzu kwa nisba ya aliehai na maiti?
Jibu: Kwa nisba ya aliehai hahijiwi isipokuwa (Hajj ya) faradhi pale ataposhindwa kujihijia. Ama maiti hakuna neno akahijiwa, sawa ikiwa ni faradhi na Naafilah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
- Imechapishwa: 17/11/2014
Swali: Ni ipi niaba katika Hajj na ´Umrah inakuwa inajuzu kwa nisba ya aliehai na maiti?
Jibu: Kwa nisba ya aliehai hahijiwi isipokuwa (Hajj ya) faradhi pale ataposhindwa kujihijia. Ama maiti hakuna neno akahijiwa, sawa ikiwa ni faradhi na Naafilah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14131
Imechapishwa: 17/11/2014
https://firqatunnajia.com/ni-lini-inaruhusiwa-kumhijia-aliehai/