Swali: Kuhusu ambaye anahiji kwa niaba ya mwingine si imeshurutishwa kwamba mtu huyo awe ameacha wasia?
Jibu: Hapana, hata kama hakuusia. Lakini ni sharti anayemfanyia awe tayari ameshajifanyia mwenyewe hajj. Anayemuhijia mwingine ni lazima awe ameshajihijia mwenyewe. Vivyo hivyo kuhusu kumfanyia mwingine ´Umrah; awe ameshajifanyia ´Umrah mwenyewe kwanza.
Swali: Vipi ikiwa mtu huyo alizembea?
Jibu: Hata kama alizembea. Ahijiwe na aombewe du´aa ya msamaha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22856/هل-يجب-ان-يوصي-من-يحج-عن-الغير
- Imechapishwa: 29/08/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)