Swali: Je, ni lazima kwa msafiri kudhini na kukimu?

Jibu: Kama uko peke yako, hazikulazimu bali inapendeza uzilete. Lakini kama mko wengi, basi ni lazima kwenu kuadhini na kukimu. Maalik bin al-Huwayrith (Radhiya Allaahu ´anh) amesema:

“Watu wawili waliokuwa wanataka kusafiri walikuja kwa Mtume (Swalla Allahu ´alayhi wa sallam). Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wakati mnaposafiri, basi mtoe adhaana kisha mkimu.”[1]

[1] al-Bukhaariy 630) na Muslim (674).

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa ((12/160))
  • Imechapishwa: 01/05/2026