Swali: Ikiwa mshahara wangu umecheleweshwa na sina uwezo mwingine isipokuwa mkopo wa benki ulio na ribaa, je, inafaa kwangu kutoa zakaah kwa pesa hizo au nisubiri mpaka nitapopokea mshahara wangu?
Jibu: Haijuzu kabisa kuchukua mkopo benki ulio na nyongeza ya ribaa. Muda wa kuwa uko na ribaa ni haramu. Ni vipi basi utatolewa zakaah?
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/28-29)
- Imechapishwa: 01/05/2026
Swali: Ikiwa mshahara wangu umecheleweshwa na sina uwezo mwingine isipokuwa mkopo wa benki ulio na ribaa, je, inafaa kwangu kutoa zakaah kwa pesa hizo au nisubiri mpaka nitapopokea mshahara wangu?
Jibu: Haijuzu kabisa kuchukua mkopo benki ulio na nyongeza ya ribaa. Muda wa kuwa uko na ribaa ni haramu. Ni vipi basi utatolewa zakaah?
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (18/28-29)
Imechapishwa: 01/05/2026
https://firqatunnajia.com/zakaah-juu-ya-mkopo-wa-benki/