Swali: Mtu akikusanya Dhuhr na ´Aswr. Je, kila kimoja katika hizo inatolewa Iqaamah yake?
Jibu: Kila moja ina Iqaamah yake. Jaabir (Rdhiya Allaahu ´anh) alipokuwa akielezea namna ya hijjah yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kutaja ukusanyaji wake Muzadalifah kisha akasema:
“Akasimama na kuswali Maghrib, kisha akasimama na kuswali ´Ishaa na hakuleta Tasbiyh kati yake.”
Kuhusu swalah za kujitolea hakuna baina yake Iqaamah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/12/161)
- Imechapishwa: 01/05/2026
Swali: Mtu akikusanya Dhuhr na ´Aswr. Je, kila kimoja katika hizo inatolewa Iqaamah yake?
Jibu: Kila moja ina Iqaamah yake. Jaabir (Rdhiya Allaahu ´anh) alipokuwa akielezea namna ya hijjah yake Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) baada ya kutaja ukusanyaji wake Muzadalifah kisha akasema:
“Akasimama na kuswali Maghrib, kisha akasimama na kuswali ´Ishaa na hakuleta Tasbiyh kati yake.”
Kuhusu swalah za kujitolea hakuna baina yake Iqaamah.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (12/12/161)
Imechapishwa: 01/05/2026
https://firqatunnajia.com/mtu-anapokusanya-faradhi-mbili-analeta-iqaamah-kwa-kila-moja-wapo/