Swali: Je, ni jambo la lazima kuvua viatu wakati wa kuingia makaburini?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuvivua. Isipokuwa ikiwa kuna haja; jua kali, miba n.k. Kwa msemo mwingine haja imepelekea kupita. Vinginevyo mtu anapaswa kuvivua. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ee mwenye viatu. Vua viatu vyako!”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23322/هل-يجب-خلع-النعال-اثناء-دخول-المقابر
- Imechapishwa: 26/12/2023
Swali: Je, ni jambo la lazima kuvua viatu wakati wa kuingia makaburini?
Jibu: Ndio. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliamrisha kuvivua. Isipokuwa ikiwa kuna haja; jua kali, miba n.k. Kwa msemo mwingine haja imepelekea kupita. Vinginevyo mtu anapaswa kuvivua. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Ee mwenye viatu. Vua viatu vyako!”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23322/هل-يجب-خلع-النعال-اثناء-دخول-المقابر
Imechapishwa: 26/12/2023
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kuvua-viatu-wakati-wa-kuingia-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
