Swali: Kutaja majina ya waendaji kinyume ya Kitabu na Sunnah ni katika manhaj ya Salaf ili waislamu watahadhari nao, je kufanya hivi ni katika manhaj ya Salaf?
Jibu: Ikiwa watu wanadanganyika nao na wala hawawajui, na wewe umehakikisha ya kwamba wako na uendaji wa kinyume (Bid´ah). Ni lazima kutaja majina yao ili wasiwaaminie na kuchukua (elimu) kutoka kwao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fat_Majid_21_05_1434.mp3
- Imechapishwa: 28/01/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)