Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah wakati mtu anapotaka kusujudu Sujuud-ut-Tilaawah asimame kwanza?
Jibu: Sujuud-ut-Tilaawah inategemea. Ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa amesimama atasujudu hali ya kuwa amesimama kwa kutokea juu. Ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa amekaa, atasujudu hali ya kuwa amekaa. Na ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa yuko juu ya mpando, atashutama hali ya kuwa ni mwenye kuelekea alipoelekea.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni jambo limewekwa katika Shari´ah wakati mtu anapotaka kusujudu Sujuud-ut-Tilaawah asimame kwanza?
Jibu: Sujuud-ut-Tilaawah inategemea. Ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa amesimama atasujudu hali ya kuwa amesimama kwa kutokea juu. Ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa amekaa, atasujudu hali ya kuwa amekaa. Na ikiwa alikuwa anasoma hali ya kuwa yuko juu ya mpando, atashutama hali ya kuwa ni mwenye kuelekea alipoelekea.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kusimama-kwanza-wakati-wa-sujuud-ut-tilaawah/