Swali: Je, ni lazima kumwambia anaekuja kuniposa maradhi yalionishika siku zilizopita na kwa sasa nimekwishapona?

Jibu: Si wajibu ikiwa maradhi yaliondoka si lazima.

  • Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=5212
  • Imechapishwa: 22/09/2020