Swali: Ipi hukumu ya baba ambaye hataki kuwaozesha mabinti zake kwa ajili ya riziki zao?
Jibu: Huchukuliwa kuwa ni dhalimu. Allaah hawapendi madhalimu. Allaah amesema:
وَالظَّالِمِينَ أَعَدَّ لَهُمْ عَذَابًا أَلِيمًا
”Wenye kudhulumu amewaandalia adhabu iliyo chungu.” (76:31)
Riziki yao iko kwa Allaah. Akimuozesha binti yake riziki yake iko kwa Allaah. Ajitahidi kumuozesha kwa mwanamume mwema ambaye atamsaidia katika dini na dunia yake. Haijuzu kwake kumkatalia kwa kitu alichomhalalishia Allaah.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4706
- Imechapishwa: 22/09/2020
Swali: Ipi hukumu ya baba ambaye hataki kuwaozesha mabinti zake kwa ajili ya riziki zao?
Jibu: Huchukuliwa kuwa ni dhalimu. Allaah hawapendi madhalimu. Allaah amesema:
وَالظَّالِمِينَ أَعَدَّ لَهُمْ عَذَابًا أَلِيمًا
”Wenye kudhulumu amewaandalia adhabu iliyo chungu.” (76:31)
Riziki yao iko kwa Allaah. Akimuozesha binti yake riziki yake iko kwa Allaah. Ajitahidi kumuozesha kwa mwanamume mwema ambaye atamsaidia katika dini na dunia yake. Haijuzu kwake kumkatalia kwa kitu alichomhalalishia Allaah.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.olamayemen.net/Default_ar.aspx?ID=4706
Imechapishwa: 22/09/2020
https://firqatunnajia.com/baba-hataki-kuwaozesha-mabinti-zake-kwa-kukhofia-riziki-zao/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)