Swali: Ni wajibu kwa mtu kumdidimizi nzi kwenye kinywaji kisha anywe au anaweza kukimwaga?
Jibu: Imechukizwa kumtoa nje. Kwa nini aharibu pesa na kinywaji? Haijuzu kufanya hivi. Hii ni dalili yenye kuonesha kuwa anaitilia shaka Hadiyth. Ni jambo lisilofaa. Sio lazima anywe yeye. Akiache watakunywa wengine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Ni wajibu kwa mtu kumdidimizi nzi kwenye kinywaji kisha anywe au anaweza kukimwaga?
Jibu: Imechukizwa kumtoa nje. Kwa nini aharibu pesa na kinywaji? Haijuzu kufanya hivi. Hii ni dalili yenye kuonesha kuwa anaitilia shaka Hadiyth. Ni jambo lisilofaa. Sio lazima anywe yeye. Akiache watakunywa wengine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-lazima-kumdidimiza-nzi-ndani-ya-kinywaji-kisha-anywe/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)