Swali: Ni lazima kuandika wasia?
Jibu: Hapana, inapendeza. Lakini kama yuko na kitu anachochelea, kama vile madeni ambayo hayana hati, basi ni lazima kuwathibitishia watu ili zisipotee haki zao. Lakini akiwa hana kitu, bali ni swadaqah tu, basi katika hali hiyo inapendez kwake akiwa na kitu anachotaka kuusia pale ambapo atakuwa na uwezo.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22306/ما-حكم-كتابة-الوصية
- Imechapishwa: 02/02/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)