Swali: Je, mtu aseme kuwa makafiri wana akili sana kutokana na maendeleo ya uvumbuzi waliyofikia na mengineyo kwa dalili ya maneno ya Allaah:
يَعْلَمُونَ ظَاهِرًا مِّنَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَهُمْ عَنِ الْآخِرَةِ هُمْ غَافِلُونَ
“Wanajua ya juujuu katika mambo ya uhai wa dunia, lakini kuhusu Aakhirah wameghafilika [nayo].” (30:07)
Jibu: Waambie kuwa ni wajinga. Haijalishi kitu hata kama ni wasomi katika mambo ya uvumbuzi na elimu ya kidunia, ni wajinga wasojua kitu kuhusiana na mambo ya Aakhirah. Ni wajinga. Elimu hii haitowafaa kitu mbele ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
- Imechapishwa: 19/08/2020
Swali: Je, mtu aseme kuwa makafiri wana akili sana kutokana na maendeleo ya uvumbuzi waliyofikia na mengineyo kwa dalili ya maneno ya Allaah:
يَعْلَمُونَ ظَاهِرًا مِّنَ الْحَيَاةِ الدُّنْيَا وَهُمْ عَنِ الْآخِرَةِ هُمْ غَافِلُونَ
“Wanajua ya juujuu katika mambo ya uhai wa dunia, lakini kuhusu Aakhirah wameghafilika [nayo].” (30:07)
Jibu: Waambie kuwa ni wajinga. Haijalishi kitu hata kama ni wasomi katika mambo ya uvumbuzi na elimu ya kidunia, ni wajinga wasojua kitu kuhusiana na mambo ya Aakhirah. Ni wajinga. Elimu hii haitowafaa kitu mbele ya Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1428-4-13.mp3
Imechapishwa: 19/08/2020
https://firqatunnajia.com/ni-kweli-makafiri-wana-akili-au-ni-mazuzu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)