Swali: Ni ipi hekima ya kwenda na njia moja na kurudi na njia nyingine wakati wa kwenda kuswali ´iyd?
Jibu: Hekima kwa upande wetu kwanza ni kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwani kitendo hicho ni katika Sunnah.
Pili ni kudhihirisha nembo ya swalah ya ´iyd katika nchi mzima.
Tatu ni kwamba mtu anapata kuwaona wahitaji wote katika jamii.
Nne ni kwamba njia zote mbili zitamtolea ushuhuda siku ya Qiyaamah.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/237)
- Imechapishwa: 25/04/2026
Swali: Ni ipi hekima ya kwenda na njia moja na kurudi na njia nyingine wakati wa kwenda kuswali ´iyd?
Jibu: Hekima kwa upande wetu kwanza ni kumwigiliza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kwani kitendo hicho ni katika Sunnah.
Pili ni kudhihirisha nembo ya swalah ya ´iyd katika nchi mzima.
Tatu ni kwamba mtu anapata kuwaona wahitaji wote katika jamii.
Nne ni kwamba njia zote mbili zitamtolea ushuhuda siku ya Qiyaamah.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (16/237)
Imechapishwa: 25/04/2026
https://firqatunnajia.com/ni-kwa-nini-mtu-anaenda-na-njia-moja-na-kurudi-na-njia-nyingine-wakati-wa-kwenda-kuswali-iyd/