Swali: Wakati fulani tunamsikia mtu anamwambia mwenzie: “Hiki ni kipindi kabla ya kuja Uislamu (الجاهلية), siku za kughafilika au n.k., akimaanisha kipindi ambapo alikuwa hajanyooka sawasawa..
Jibu: Hapana vibaya. Ni kipindi kabla ya kuja Uislamu kwake yeye. Hapana neno kusema kipindi kabla ya kuja Uislamu na kughafilika muda wa kuwa ni mkweli.
Swali: Lakini kimsemo ni sawa kusema kwamba hiki ni kipindi kabla ya kuja Uislamu?
Jibu: Kipindi kabla ya kuja Uislamu kwake yeye.
Swali: Sio cha aina ile ya kabla ya kuja Uislamu?
Jibu: Kipindi hicho kimeshaondoka. Lakini wale watu ambao wanapuuza Uislamu wako katika kipindi hicho muda wa kuwa wameipa mgongo dini. Wako katika kipindi hicho.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/23223/حكم-وصف-الجاهلية-لحال-ما-قبل-الاستقامة
- Imechapishwa: 29/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket