Swali: Wanachuoni wanaoishi katika miji ya Kiislamu ambapo wanaona kuabudiwa kwa makaburi lakini pamoja na hivyo wakanyamaza juu ya Tawassul zao kwa asiyekuwa Allaah ni wabaya zaidi kuliko wale wanaoifanyia shere dini?
Jibu: Hapa kuna upambanuzi. Ikiwa wanaitakidi kujuzu kwa hilo wanakufuru. Ikiwa wanawachukulia wepesi na wasiwakataze na wasiyafanye na wala hawayaamini watakuwa wamefanya mapungufu katika kuamrisha mema na kukataza maovu. Ama ikiwa wameacha hayo kwa kuogopa ni kama wale [Maswahabah] waliokuwa Makkah na hawakuweza kukataza maovu kwa kuwaogopa washirikina.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 138
- Imechapishwa: 20/01/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)