Swali: Wanachuoni wanaoishi katika miji ya Kiislamu ambapo wanaona kuabudiwa kwa makaburi lakini pamoja na hivyo wakanyamaza juu ya Tawassul zao kwa asiyekuwa Allaah ni wabaya zaidi kuliko wale wanaoifanyia shere dini?
Jibu: Hapa kuna upambanuzi. Ikiwa wanaitakidi kujuzu kwa hilo wanakufuru. Ikiwa wanawachukulia wepesi na wasiwakataze na wasiyafanye na wala hawayaamini watakuwa wamefanya mapungufu katika kuamrisha mema na kukataza maovu. Ama ikiwa wameacha hayo kwa kuogopa ni kama wale [Maswahabah] waliokuwa Makkah na hawakuweza kukataza maovu kwa kuwaogopa washirikina.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 138
- Imechapishwa: 20/01/2017
Swali: Wanachuoni wanaoishi katika miji ya Kiislamu ambapo wanaona kuabudiwa kwa makaburi lakini pamoja na hivyo wakanyamaza juu ya Tawassul zao kwa asiyekuwa Allaah ni wabaya zaidi kuliko wale wanaoifanyia shere dini?
Jibu: Hapa kuna upambanuzi. Ikiwa wanaitakidi kujuzu kwa hilo wanakufuru. Ikiwa wanawachukulia wepesi na wasiwakataze na wasiyafanye na wala hawayaamini watakuwa wamefanya mapungufu katika kuamrisha mema na kukataza maovu. Ama ikiwa wameacha hayo kwa kuogopa ni kama wale [Maswahabah] waliokuwa Makkah na hawakuweza kukataza maovu kwa kuwaogopa washirikina.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 138
Imechapishwa: 20/01/2017
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-wanachuoni-wenye-kuogopa-kukataza-shirki/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket