Swali: Ni ipi hukumu ya pete ya ndoa?
Jibu: Hii ni ada mbaya. Sio katika ada ya waislamu. Ni ada yenye kutoka nje ya nchi hii. Na huenda kuna itikadi fulani ya kwamba inawafanya wanandoa kuwa na umoja na kuimarisha mapenzi yao. Ni itikadi mbovu ambayo inatakiwa kuachwa. Ni jambo lisilokuwa na asli si katika dini wala desturi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
Anaweza kumvisha pete wakati wowote – isipokuwa tu wakati wa kufunga ndoa
Swali: Inajuzu kwa mwanaume kumpa pete mke wake wakati wa kumchumbia au wakati wa pete au kuna kujifananisha na makafiri? Jibu: Hii sio desturi ya waislamu. Haya yametujia kutoka kwa makafiri. Aidha pete mara nyingi inakuwa imefungamana na imani fulani. Wanaona kuwa pete zinasababisha mapenzi baina ya wanandoa. Hii ni…
In "Kujifananisha na makafiri"
ar-Raajihiy kuhusu pete ya uchumba au ya ndoa
Swali: Ni ipi hukumu mwanaume kumvisha mchumba wake pete ya ndoa au ad-Dublah? Nimesikia kwamba jambo hilo ni kujifananisa na manaswara[1]. Jibu: Ikiwa ni kujifananisha basi ni haramu na wala haifai. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema: “Mwenye kujifananisha watu basi yeye ni katika wao.” Kadhalika ikiwa ni katikati…
In "Kujifananisha na makafiri"
Pete ya ndoa na mahaba
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwanamme kuvaa pete ya ndoa ya fedha? Jibu: Kuvaa pete ya ndoa kwa wanamme na wanawake ni miongoni mwa vitu vilivyozuliwa. Pengine hata ikawa ni haramu kwa vile baadhi ya watu wanaamini kuwa kuvaa pete ya ndoa ni sababu inayofanya kubaki kwa yale mapenzi kati…
In "Kujifananisha na makafiri"