Swali: Ni jambo limekuwa la mtindo kwa baadhi ya watu kupigwa picha pamoja na paka…
Jibu: Vipi mtu atapigwa picha na paka? Picha ni haramu. Sifahamu ni nini malengo na paka.
Swali: Ni mtindo wa kupigwa picha na paka.
Jibu: Nifafanuliwa ni nini mtindo. Picha hazijuzu isipokuwa kwa dharurah peke yake. Picha hazijuzu isipokuwa kwa dharurah peke yake. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni pamoja na paka, mbwa wala kitu kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 21/06/2020
Swali: Ni jambo limekuwa la mtindo kwa baadhi ya watu kupigwa picha pamoja na paka…
Jibu: Vipi mtu atapigwa picha na paka? Picha ni haramu. Sifahamu ni nini malengo na paka.
Swali: Ni mtindo wa kupigwa picha na paka.
Jibu: Nifafanuliwa ni nini mtindo. Picha hazijuzu isipokuwa kwa dharurah peke yake. Picha hazijuzu isipokuwa kwa dharurah peke yake. Haijalishi kitu sawa ikiwa ni pamoja na paka, mbwa wala kitu kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (27) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsir-ayat-10-08-1435-01.mp3
Imechapishwa: 21/06/2020
https://firqatunnajia.com/mtindo-wa-kupigwa-picha-na-paka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)