Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa Qur-aan ni kiumbe?
Jibu: Qur-aan ni maneno ya Allaah. Maneno ya Allaah ni sifa miongoni mwa sifa Zake. Anazungumza anapotaka na namna anayotaka. Haijuzu kusema hivo. Anayepinga sifa miongoni mwa sifa Zake anatakiwa kufunzwa. Akiendelea kupinga kwa makusudi ni kafiri.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Maraatib-ul-Ihsaan 02 https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/mratib2.mp3
- Imechapishwa: 27/09/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya mwenye kusema kuwa Qur-aan ni kiumbe?
Jibu: Qur-aan ni maneno ya Allaah. Maneno ya Allaah ni sifa miongoni mwa sifa Zake. Anazungumza anapotaka na namna anayotaka. Haijuzu kusema hivo. Anayepinga sifa miongoni mwa sifa Zake anatakiwa kufunzwa. Akiendelea kupinga kwa makusudi ni kafiri.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Maraatib-ul-Ihsaan 02 https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/mratib2.mp3
Imechapishwa: 27/09/2022
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-mwenye-kusema-kuwa-qur-aan-ni-kiumbe/