8 – Asimpe idhini yeyote kuingia nyumbani kwa mume wake isipokuwa kwa idhini yake. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke kufunga na mume wake hakusafiri pasi na idhini yake, asimpe idhini nyumbani kwake[1] isipokuwa kwa idhini yake na chochote anachokitoa pasi na amri yake basi na mume atapata nusu yake.”[2]
[1] Asimpe idhini yeyote kuingia nyumbani kwake au kula humo isipokuwa kwa idhini yake.
[2] al-Bukhaariy (09/16 – Fath), Muslim (1026) na wengineo.
- Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 31
- Imechapishwa: 28/09/2022
8 – Asimpe idhini yeyote kuingia nyumbani kwa mume wake isipokuwa kwa idhini yake. Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke kufunga na mume wake hakusafiri pasi na idhini yake, asimpe idhini nyumbani kwake[1] isipokuwa kwa idhini yake na chochote anachokitoa pasi na amri yake basi na mume atapata nusu yake.”[2]
[1] Asimpe idhini yeyote kuingia nyumbani kwake au kula humo isipokuwa kwa idhini yake.
[2] al-Bukhaariy (09/16 – Fath), Muslim (1026) na wengineo.
Mhusika: Shaykh Muhammad Shuwmaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifaat-uz-Zawjah as-Swaalihah, uk. 31
Imechapishwa: 28/09/2022
https://firqatunnajia.com/14-mke-mwema-hamuidhinishi-yeyote-kuingia-nyumbani-bila-idhini-ya-mume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)