Swali: Ni ipi hukumu ya kuwazika Ahl-ul-Bid´ah kwenye makaburi ya Ahlus-Sunnah?
Jibu: Ikiwa mzushi huyo Bid´ah zake ni zenye kumtoa katika Uislamu haijuzu kumzika pamoja na waislamu. Ni wajibu makaburi ya makafiri yawe ni yenye kutengana na makaburi ya waislamu. Ama ikiwa Bid´ah zake sio zenye kumtoa katika Uislamu haina neno kumzika pamoja na waislamu.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/215)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuwazika Ahl-ul-Bid´ah kwenye makaburi ya Ahlus-Sunnah?
Jibu: Ikiwa mzushi huyo Bid´ah zake ni zenye kumtoa katika Uislamu haijuzu kumzika pamoja na waislamu. Ni wajibu makaburi ya makafiri yawe ni yenye kutengana na makaburi ya waislamu. Ama ikiwa Bid´ah zake sio zenye kumtoa katika Uislamu haina neno kumzika pamoja na waislamu.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/215)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuwazika-ahl-ul-bidah-kwenye-makaburi-ya-ahl-us-sunnah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)