Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Aayah baada ya al-Faatihah katika swalah ya jeneza?
Jibu: Ni sawa kwa mtu akasoma katika swalah ya jeneza sehemu kidogo katika Qur-aan baada ya al-Faatihah. Akisoma al-Faatihah peke yake ni sawa kwa kuwa swalah ya jeneza imejengwa juu ya ukhafifishaji. Kwa ajili hii ndio maana du´aa ya kufungulia swalah haikuwekwa katika Shari´ah. Alete Isti´aadhah kisha asome al-Faatihah.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/121)
- Imechapishwa: 07/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma Aayah baada ya al-Faatihah katika swalah ya jeneza?
Jibu: Ni sawa kwa mtu akasoma katika swalah ya jeneza sehemu kidogo katika Qur-aan baada ya al-Faatihah. Akisoma al-Faatihah peke yake ni sawa kwa kuwa swalah ya jeneza imejengwa juu ya ukhafifishaji. Kwa ajili hii ndio maana du´aa ya kufungulia swalah haikuwekwa katika Shari´ah. Alete Isti´aadhah kisha asome al-Faatihah.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/121)
Imechapishwa: 07/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kusoma-suurah-nyingine-baada-ya-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)