Swali: Ni ipi hukumu ya kuoga siku ya ijumaa na lini unaanza wakati wake?
Jibu: Kuoga siku ya ijumaa ni Sunnah iliyokokotezwa. Wakati wake unaanza inapoanza siku ya ijumaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
- Imechapishwa: 28/10/2016
Swali: Ni ipi hukumu ya kuoga siku ya ijumaa na lini unaanza wakati wake?
Jibu: Kuoga siku ya ijumaa ni Sunnah iliyokokotezwa. Wakati wake unaanza inapoanza siku ya ijumaa.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (6) http://alfawzan.af.org.sa/node/14379
Imechapishwa: 28/10/2016
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuoga-siku-ya-ijumaa-na-lini-unaanza-wakati-wake/