Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kuweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah ni shirki kwa kuwa ndani yake kuna kumuadhimisha yule mwenye kuwekewa nadhiri na kujikurubisha kwake kwa kufanya hivo. Vilevile kutekeleza nadhiri ni ´ibaadah ikiwa nadhiri hiyo ni utiifu. ´Ibaadah ni wajibu afanyiwe Allaah peke yake kutokana na dalili nyingi. Miongoni mwazo ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَمَا أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ مِن رَّسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ
“Hatukutuma kabla yako Mtume yeyote isipokuwa Tulimfunulia Wahy ya kwamba hakuna mungu wa haki isipokuwa Mimi – basi Niabuduni.” (21:25)
Kumtekelezea nadhiri hiyo mwingine asiyekuwa Allaah ni shirki.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/112)
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah?
Jibu: Kuweka nadhiri kwa asiyekuwa Allaah ni shirki kwa kuwa ndani yake kuna kumuadhimisha yule mwenye kuwekewa nadhiri na kujikurubisha kwake kwa kufanya hivo. Vilevile kutekeleza nadhiri ni ´ibaadah ikiwa nadhiri hiyo ni utiifu. ´Ibaadah ni wajibu afanyiwe Allaah peke yake kutokana na dalili nyingi. Miongoni mwazo ni Kauli Yake (Ta´ala):
وَمَا أَرْسَلْنَا مِن قَبْلِكَ مِن رَّسُولٍ إِلَّا نُوحِي إِلَيْهِ أَنَّهُ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا أَنَا فَاعْبُدُونِ
“Hatukutuma kabla yako Mtume yeyote isipokuwa Tulimfunulia Wahy ya kwamba hakuna mungu wa haki isipokuwa Mimi – basi Niabuduni.” (21:25)
Kumtekelezea nadhiri hiyo mwingine asiyekuwa Allaah ni shirki.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Najnah ad-Daaimah (01/112)
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kumuwekea-nadhiri-asiyekuwa-allaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)