Swali: Ni jambo linalojulikana ya kwamba haifai kwa mume kumwingilia mwanamke mwenye hedhi. Ni ipi hukumu ya kumwingilia mwanamke anayetokwa na damu ya ugonjwa ambaye anajisafisha wakati wa kila kwa ajili ya kuswali?
Jibu: Inajuzu pamoja na kwamba imechukizwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (11) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/14466
- Imechapishwa: 10/10/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
