Swali: Ni ipi hukumu ya kukata makucha ya maiti, kumkata masharubu, kunyofoa nywele za chini ya kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri?
Jibu: Wanachuoni wamesema kumkata makucha maiti, kumkata nywele zinazohitajia kukatwa, kama nywele za sehemu ya siri, chini ya kwapa na masharubu, ni vizuri kukihitajia kufanya hivo. Kusipohitajia kufanya hivo zinaachwa na hazikatwi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87-88)
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kukata makucha ya maiti, kumkata masharubu, kunyofoa nywele za chini ya kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri?
Jibu: Wanachuoni wamesema kumkata makucha maiti, kumkata nywele zinazohitajia kukatwa, kama nywele za sehemu ya siri, chini ya kwapa na masharubu, ni vizuri kukihitajia kufanya hivo. Kusipohitajia kufanya hivo zinaachwa na hazikatwi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87-88)
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukata-kucha-za-maiti-masharubu-na-nywele-za-sehemu-ya-siri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)