Swali: Ikiwa maiti yuko na meno ya dhahabu yatolewe?
Jibu: Ikiwa kuna uwezekano wa kuyatoa meno ya maiti bila ya usumbufu yatolewe. Kuyabakiza ni kuharibu pesa, jambo ambalo limekatazwa. Ikiwa hawezi kutolewa nayo mpaka kwa usumbufu yaachwe mpaka pale maiti atapooza kisha yachukuliwe.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/88)
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Ikiwa maiti yuko na meno ya dhahabu yatolewe?
Jibu: Ikiwa kuna uwezekano wa kuyatoa meno ya maiti bila ya usumbufu yatolewe. Kuyabakiza ni kuharibu pesa, jambo ambalo limekatazwa. Ikiwa hawezi kutolewa nayo mpaka kwa usumbufu yaachwe mpaka pale maiti atapooza kisha yachukuliwe.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/88)
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kungoa-meno-ya-dhahabu-ya-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)