Swali: Baadhi ya wale wanaomuosha maiti wanamvua nguo zake zote na anabaki uchi na huenda kukaingia watu wasiokuwa na haja. Unaonaje juu ya hali hii?
Jibu: Wakati wa kumvua nguo maiti ni lazima kuwepo nguo inayofichika uchi wake. Wamesema kuwa inachukizwa wale wasiohitajika kuhudhuria uoshwaji wake. Kuhusu wale wanaohitajika – kama kukihitajika maji au mengineyo – ni sawa wakahudhuria.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87)
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Baadhi ya wale wanaomuosha maiti wanamvua nguo zake zote na anabaki uchi na huenda kukaingia watu wasiokuwa na haja. Unaonaje juu ya hali hii?
Jibu: Wakati wa kumvua nguo maiti ni lazima kuwepo nguo inayofichika uchi wake. Wamesema kuwa inachukizwa wale wasiohitajika kuhudhuria uoshwaji wake. Kuhusu wale wanaohitajika – kama kukihitajika maji au mengineyo – ni sawa wakahudhuria.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87)
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumvua-maiti-nguo-zote-na-akaonekana-na-wale-wasiohitajika/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)