Swali: Ni ipi hukumu ya kukata makucha ya maiti, kumkata masharubu, kunyofoa nywele za chini ya kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri?
Jibu: Wanachuoni wamesema kumkata makucha maiti, kumkata nywele zinazohitajia kukatwa, kama nywele za sehemu ya siri, chini ya kwapa na masharubu, ni vizuri kukihitajia kufanya hivo. Kusipohitajia kufanya hivo zinaachwa na hazikatwi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87-88)
- Imechapishwa: 06/09/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kukata makucha ya maiti, kumkata masharubu, kunyofoa nywele za chini ya kwapa na kunyoa nywele za sehemu ya siri?
Jibu: Wanachuoni wamesema kumkata makucha maiti, kumkata nywele zinazohitajia kukatwa, kama nywele za sehemu ya siri, chini ya kwapa na masharubu, ni vizuri kukihitajia kufanya hivo. Kusipohitajia kufanya hivo zinaachwa na hazikatwi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/87-88)
Imechapishwa: 06/09/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kukata-kucha-za-maiti-masharubu-na-nywele-za-sehemu-ya-siri/