Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kwenye majiwe ya makaburi au kuyapaka rangi?
Jibu: Kuyapaka rangi kunaingia katika sampuli ya kuyatia chokaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyatia chokaa makaburi. Ni njia inayopelekea watu kuanza kushindana ni nani anayepaka rangi vizuri. Hatimaye makaburi yawe ni sehemu ya magambo. Kwa ajili hiyo ni wajibu kuliepuka. Kuhusu kuliandika, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyaandika makaburi. Lakini baadhi ya wanachuoni wanasema ni sawa endapo lengo ni kutaka kutambua kaburi ni la nani na si matapo wala sifa. Katika hali hiyo makatazo itakuwa ni yale maandishi ya kumuadhimisha yule maiti kwa dalili kwamba hilo ni sambamba na makatazo ya kuyatia chokaa na kuyajengea.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/189-190)
- Imechapishwa: 25/08/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kuandika kwenye majiwe ya makaburi au kuyapaka rangi?
Jibu: Kuyapaka rangi kunaingia katika sampuli ya kuyatia chokaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyatia chokaa makaburi. Ni njia inayopelekea watu kuanza kushindana ni nani anayepaka rangi vizuri. Hatimaye makaburi yawe ni sehemu ya magambo. Kwa ajili hiyo ni wajibu kuliepuka. Kuhusu kuliandika, Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amekataza kuyaandika makaburi. Lakini baadhi ya wanachuoni wanasema ni sawa endapo lengo ni kutaka kutambua kaburi ni la nani na si matapo wala sifa. Katika hali hiyo makatazo itakuwa ni yale maandishi ya kumuadhimisha yule maiti kwa dalili kwamba hilo ni sambamba na makatazo ya kuyatia chokaa na kuyajengea.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/189-190)
Imechapishwa: 25/08/2021
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-ya-kuandika-kwenye-majiwe-ya-makaburi-au-kuyapaka-rangi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)