Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa pole makaburini?
Jibu: Kutoa pole ni jambo limewekwa katika Shari´ah, lakini isiwe kwa kujikalifisha. Baadhi ya watu wanatoa pole makaburini kwa ajili ya kuepuka kufanya hilo kwa baadaye. Wanatumia fursa papo hapo. Ni sawa, lakini isiwe kwa nidhamu iliopangwa na watu wenye kusimama katika safu. Jengine ni kwamba wasifanye hivo karibu na makaburi ili wasije wakayakanyaga… [sauti haiko wazi]
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-05-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 19/06/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa pole makaburini?
Jibu: Kutoa pole ni jambo limewekwa katika Shari´ah, lakini isiwe kwa kujikalifisha. Baadhi ya watu wanatoa pole makaburini kwa ajili ya kuepuka kufanya hilo kwa baadaye. Wanatumia fursa papo hapo. Ni sawa, lakini isiwe kwa nidhamu iliopangwa na watu wenye kusimama katika safu. Jengine ni kwamba wasifanye hivo karibu na makaburi ili wasije wakayakanyaga… [sauti haiko wazi]
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-05-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 19/06/2020
https://firqatunnajia.com/ni-ipi-hukumu-taazia-makaburini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)