Swali: Katika mji wetu wanaadhini dakika tano baada ya kuzama kwa jua. Inajuzu kwetu kukata swawm kabla ya adhaana?
Jibu: Kukata swawm kunakuwa kwa kuzama kwa jua. Ikiwa mnaona kuwa jua limeshakwishazama basi kateni swawm sawa ikiwa wameshaadhini au bado. Ama ikiwa hamuoni jua basi msifuturu mpaka muadhini aadhini. Hili ni salama zaidi kwenu ili msije kukata swawm kabla ya jua kuzama.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-05-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 19/06/2020
Swali: Katika mji wetu wanaadhini dakika tano baada ya kuzama kwa jua. Inajuzu kwetu kukata swawm kabla ya adhaana?
Jibu: Kukata swawm kunakuwa kwa kuzama kwa jua. Ikiwa mnaona kuwa jua limeshakwishazama basi kateni swawm sawa ikiwa wameshaadhini au bado. Ama ikiwa hamuoni jua basi msifuturu mpaka muadhini aadhini. Hili ni salama zaidi kwenu ili msije kukata swawm kabla ya jua kuzama.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (22) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tafsirayat-05-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 19/06/2020
https://firqatunnajia.com/swawm-inakatwa-pale-jua-linapozama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)